Yanga yawasili Ruangwa

Kikosi cha Yanga SC kimewasili Ruangwa, mkoani Lindi tayari kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu ya NBC msimu mpya wa 2026/27

Agosti 15, 2026 Yanga watakua ugenini katika Dimba la Majaliwa kukiwasha na Wauaji wa Kusini, Namungo FC, mchezo utakaopigwa saa tatu usiku.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI