Stephanie Aziz Ki mzigoni Avic Town

Kiungo mshambuliaji mpya wa Yanga, Stephane Aziz KI akiwa katika mazoezi ya kikosi hicho katika viwanja vya Avic Town Kigamboni

Yanga wanapiga tizi kujiandaa na mchezo unaofuata wa ligi kuu Tanzania Bara dhidi ya Coastal Union utakaopigwa Alhamisi agosti 20,2026

Seleman Mwalimu naye alikuwepo katika viwanja hivyo vya mazoezi Avic Town ikiwa ni mara yake ya kwanza tangu asajiliwe na Yanga


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI