Starboy kuagwa kwa heshima

Kuna uwezekano mkubwa Yanga wakamuaga kwa heshima Starboy Allan Okello,kwenye mechi ijayo dhidi ya Coastal Union.

Rabat wanamtaka Okello aripoti kambini haraka sana ila Yanga wanaomba wavumiliwe hadi tarehe 20 dhidi ya Coastal ili wamuage

Okello ataingia leo Dar es salaam na kikosi kizima cha Yanga wakitokea Lindi na baada ya hapo watajadiliana.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI