Singida BS yaishushia lundo la magoli Polisi Tanzania

Timu ya Singida BS usiku huu imeibuka na ushindi wa mabao 4-2 dhidi ya Polisi Tanzania katika uwanja wa Airtel uliopo mjini Singida mchezo wa Ligi Kuu bara.

Ilianza Polisi kupitia Baraka Michael na goli lao la pili lilifungwa na Ibrahim Ame.

Wenyeji Singida BS wakafungua karamu ya magoli kupitia Jonathan Sowah, kisha James Mwashinga, Shekhan Ibrahim na baadae Jeancy Mboma akaweka goli la nne.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI