Simba yapata ushindi kiduchu
Timu ya Simba SC usiku huu imepata ushindi kiduchu baada ya kuifunga Coastal Union ya Tanga bao 1-0 katika uwanja wa Meja Isamuhyo Mbweni jijini Dar es Salaam.
Mchezo huo wa Ligi Kuu bara ulikuwa wa upande mmoja kwa Simba kufanya mara kwa mara, bao pekee la Simba limefungwa na Ismail Toure baada ya kutokea nyuma.
