Seleman Mwalimu kila kitu safi
Young Africans SC tayari imeshamuingiza mshambuliaji wao Selemani Mwalimu kwenye mfumo wa FIFA Connect na kupata karatasi zote za leseni za kuitumikia klabu hiyo kuelekea msimu ujao kutoka Wydad AC!
Simba SC hawakuhusika katika kugoma na kutomtoa kwenye mfumo wasababu uhamisho wake ulikuwa umekwisha na kurudi katika klabu yake ya Wydad AC ambao wanammiliki na taarifa za Simba SC kugoma kumtoa kwenye mfumo sio za ukweli.
Selemani Mwalimu amepewa session ya peke yake na Mwalimu Manqoba Mngoithi ili kuwa vizuri na kuungana na wenzake kwasababu hakufanya mazoezi ya pre-season na wenzake na muda wowote kuanzia sasa atawatumikia Wananchi.
