Seleman Mwalimu aanza mszoezi Wydad

Mshambuliaji wa Kimataifa wa Tanzania, Selemani Mwalimu 'Gomez' ameanza mazoezi ya maandalizi ya msimu mpya wa 2026/27 akiwa na waajiri wake, Wydad Casablanca ya Morocco baada ya kumalizika kwa mkataba wake wa mkopo kunako klabu ya Simba SC


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI