Salah atambulishwa Trabzonsor
Mohhamed Salah sasa ni rasmi mchezaji wa Trabzonspor, akijiunga na klabu hiyo kwa mkataba wa miaka miwili unaoripotiwa kuwa na thamani ya €17 milioni kwa mwaka, sawa na takribani TSh bilioni 51 kwa mwaka.
Mkataba huo unatajwa kuwa na:
€10 milioni mshahara — takribani TSh bilioni 30 kwa mwaka.
€7 milioni bonasi ya kusaini — takribani TSh bilioni 21.
20% ya mapato yatokanayo na mauzo ya bidhaa zenye chapa ya Salah.
Hivyo Kwa miaka miwili, thamani ya mshahara na bonasi pekee inaweza kufikia takribani TSh bilioni 102.
