Rais Samia azitakia kila kheri Simba na Yanga
Tumeshuhudia burudani katika Dabi nyingine ya Kariakoo kupitia mchezo wa Ngao ya Jamii. Pongezi kwa Klabu ya Yanga kwa ubingwa wa 10 wa Ngao ya Jamii.
Ninazitakia kila la heri timu zote katika msimu mpya wa Ligi Kuu, pamoja na mashindano mengine ya kitaifa na kimataifa.


