Picco Kikongwe aeleza sababu za kutunga wimbo kikongwe
Msanii wa muziki, Picco ambaye alitamba na wimbo ‘Kikongwe’ amedai wimbo huo aliuandaa kwaajili ya kupinga mauaji ya vikongwe kwa kuwaonyesha upendo.
Picco ambaye ni miongoni mwa wasanii ambao watafanya show kwenye miaka 30 ya BongoFleva Dodoma.
