Okwi akumbushia goli 5-0 walizoifunga Yanga
Nyota wa zamani wa Simba SC, Mganda Emmanuel Okwi azikumbuka nyakati ambazo walipata ushindi wa magoli matano dhidi ya Yanga.
Afunguka sababu za kutopiga penati siku hiyo ambayo ingemfanya aifikie rekodi ya mkongwe Abdallah Kibadeni ya kufunga hat trick.
