Muhindi wa Simba mbaroni kwa kuichafua Jayrutty


Taarifa nilizonazo ni kwamba shabiki wa Simba maarufu kama Muhindi wa Simba na wenzake wanashikiliwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za kuchafua kampuni ya Jayruty kwa aina tofauti.
.
Muhindi wa Simba na wenzake wamekua wakiongea na vyombo vya habari mara kadhaa wakieleza juu ya kampuni hiyo kutokidhi vigezo vya kuidhamini Simba lakini pia wakieleza kutoridhishwa na huduma za Jayruty kwa Simba.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI