Kiungo wa boli atimkia Libya

Kiungo James Akaminko (30) raia wa Ghana ametambulishwa rasmi kama mchezaji mpya wa klabu ya Al-Akhdar SC ya nchini Libya kwa uhamisho huru akitokea klabu ya Azam FC ya Tanzania.

Akaminko amesaini mkataba wa mwaka mmoja utakaombakisha klabuni hapo mpaka Juni 2027 akihitimisha utumishi wake kwa Wanalambalamba tangu ajiunge nayo mwaka 2022 akitokea Great Olympics ya Nchini kwao Ghana.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI