Kenya yataka mechi za ufunguzi
Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi, Nicholas Musonye, amesema Kenya ina uwezo wa kuandaa mechi ya ufunguzi na fainali ya AFCON 2027.
Hii ni wakati ambapo maandalizi ya pamoja ya Kenya, Uganda na Tanzania (PAMOJA) kwa AFCON 2027 yanaendelea kushika kasi.
