Kassali kuivaa Coastal Union

Golikipa wa klabu ya Simba, Djibrilla Kassali ataukosa mchezo wa Ligi Kuu bara dhidi ya Pamba Jiji FC, baada ya golikipa huyo kuumia kwenye mchezo uliopita dhidi ya Kagera Sugar.

Taarifa ya Ahmed Ally, meneja habari na Mawasiliano wa klabu ya Simba amesema baada ya kufanyiwa vipimo vya awali, imethibitika kassali ameumia goti (msuli wa pembeni ) na ripoti ya madaktari imeeleza jeraha lake sio kubwa na halihitaji upasuaji wa aina yoyote.

Kassali atarudi uwanjani kwenye mchezo unaofuata baada ya mchezo wa Pamba Jiji FC utakaochezwa jijini mwanza.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI