Injinia Hersi amkabidhi jezi mbunge wa Bukombe

Rais wa Klabu ya Yanga SC, Eng. Hersi Said, akimkabidhi jezi Mbunge wa Jimbo la Bukombe na Naibu Waziri Mkuu Mstaafu, Dkt. Doto Biteko zoezi lililofanyika katika Uwanja wa Bukombe kwenye uzinduzi wa Wiki ya Mwananchi 2026.

Yanga SC ipo Ushirombo, Wilaya ya Bukombe Mkoa wa Geita kwa ajili ya uzinduzi na maadhimisho ya Wiki ya Mwananchi ikiwa ni kwa mara ya kwanza kihistoria kwa tamasha hilo kufanyika nje ya mkoa wa Dar es Salaam.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI