Injinia Hersi amkabidhi gari mbunifu idara ya habari

Rais wa Yanga, Eng. Hersi Said, amemkabidhi zawadi ya gari Willy Shemoka @shemokawilly kama pongezi kwa kutokana na jitihada zake na ubunifu mkubwa alionesha kwenye idara ya habari.

Mafanikio haya yanaenda sambamba na ubunifu, bidii na maboresho makubwa katika uzalishaji wa maudhui ya Yanga.

Kama muandaa maudhui , Willy amekuwa sehemu muhimu ya safari hii, huku YouTube ya Yanga ikifikia hadhi ya kuwa namba moja Afrika kwa watazamaji. Hongera Willy Shemoka


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI