Geita Gold yaifuata Simba na ndege


Kikosi cha Geita Gold FC kimewasili rasmi jijini Dar es Salaam kwa usafiri wa ndege ya Air Tanzania kwa ajili ya maandalizi ya michezo yao miwili mikubwa ya NBC Premier League dhidi ya miamba ya soka nchini, Simba SC na Yanga SC.

Hii ni mara ya pili msimu huu kwa Geita Gold kutumia usafiri wa anga kusafiri kuelekea mechi zao ili kuwapa wachezaji mapumziko ya kutosha na kuepuka athari za safari ndefu za barabarani.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI