Fountain Gate yaanza ligi

Timu ya Fountain Gate inayonolewa na Fred Minziro imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mashujaa FC ya Kigoma katika mfululizo wa Ligi Kuu bara

Bao pekee la ushindi limefungwa na Kassim HarunaShabani, kwa ushndi huo umeamsha matumaini baada ya kuanza ligi vibaya katika mchezo wake wa kwanza na kufungwa na Singida Black Stars.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI