Fei atoweka Simba SC

Kiungo Feisal Salum atawasili Arusha, Tanzania kwaajili ya kufanyiwa summalization ya jeraha lake dogo la nyama za paja akiwa na kikosi cha Azam FC na ataukosa mchezo wa kwanza wa Azam FC dhidi ya Polisi Tanzania.

Feisal Salum hatojiunga na Simba SC katika dirisha hili na ataendelea kuitumikia Azam FC kwa mkataba wa mwaka mmoja uliobaki hadi June 30, 2027 ambapo atakuwa mchezaji huru (Free agent).


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI