Duchu kazi anayo kwa Chilambo


Nathaniel Chilambo ni bonge la fullback wa kulia na kwa kiwango alichonacho, hivi karibuni anaweza kuanza kumpa presha kubwa David Kameta Duchu kwenye nafasi hiyo.

Chilambo alionyesha uwezo mkubwa tangu akiwa Azam FC, tatizo lilikuwa ushindani wa namba. Sasa akiwa Simba, kwa kuangalia kiwango chake pamoja na umri wa Kapombe, naamini ushindani wa fullback wa kulia utakuwa mdogo sana kwake.

Kwa kifupi, Chilambo namba ya David kameta duchu ameichukua mapema maana duchu amejichanganya sana kwenye kadi nyekundu.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI