Depu aanza na goli Petro de Luanda
Mshambuliaji wa zamani wa Young Africans, Laurindo Depu, leo ameanza kuonyesha makali yake baada ya kufunga bao moja katika ushindi wa 2-0 wa Petro de Luanda dhidi ya Académica do Lobito kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Angola.
Hili ni bao lake la kwanza Depu tangu ajiunge na miamba hiyo ya Angola.
