Clara Luvanga atupia tena huko...

Mshambuliaji wa Timu ya Taifa Tanzania "Twiga Stars" Clara Luvanga amefunga Magoli Saba pekee yake kwenye ushindi wa Magoli 12 ya timu yake ya Al Nassr Women

Nyota huyo ameendelea kuonesha ubora mkubwa wa Ufungaji wa Magoli akiwa na timu ya Al Nassr Women baada ya kuwafunga magoli Saba timu ya CSKA Dushanbe kwenye mchezo wa Uefa Asian Women


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI