Taasisi ya MO Dewji na Simba zatoa misaada kituo cha watoto yatima Zanzibar
Kwa kushirikiana na Taasisi ya Mo Dewji, tumetoa msaada kwenye kituo cha Kutunza Watoto Yatima cha Mazizini kilichopo hapa Zanzibar, lakini pia tutapata futari pamoja leo jioni.














