Rais Wallace Karia atembelea mradi wa Barrick Tanzania, Buzwagi

Rais wa TFF Wallace Karia akiongozana na Wajumbe wa Kamati ya Utendaji TFF na Katibu Tawala Wilaya ya Kahama Glory Absalum leo wametembelea Mradi wa ufungwaji wa Barrick Tanzania, Buzwagi uliopo Kahama, Shinyanga kutazama miundombinu iliyopo kwa ajili ya kuanzisha Kituo cha Soka kuendeleza vipaji vya mpira wa miguu


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI