Winga Al Hilal Omduman afungiwa mechi 3

Kamati ya nidhamu ya Shirikisho la soka barani Afrika (CAF) imemfungia mechi tatu na kumtoza faini ya dola za Kimarekanl 5,000 (sawa ba zaidi ya Milioni 12 za Kitanzania) winga wa klabu ya Al Hilal Omduman ya Sudan Girumugish kwa vitendo visivyo vya kiungwana michezoni kutokana na alichokifanya baada ya mchezo wa timu yake na Mc Alger uliopigwa Novemba 28 na kumalizika kwa Al hilal kiushinda bo 2-1.

Kutokana na adhabu hiyo, Girumugisha ataikosa michezo hii:
• vs St Eloi Lupopo
• vs Mamelodi Sundowns
• vs Mamelodi Sundowns

Caf waneweka wazi madai ya nyota huyo kurusha chupa kwenye benchi la Mc Alger sio miongoni mwa vitendo vilivyoainishwa kama ilivyokuwa ikieleza awali.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI