Nassoro Idrissa amgaragaza Hosea na kuwa bosi wa Ligi Kuu
Nassoro Idrissa ameshinda nafasi ya Mwenyekiti wa Bodi ya Ligi ya Tanzania baada ya Kumshinda Hosea Lugano kwa Kura 7 kwa 6
Nassoro Idrissa ni Rais wa Azam FC, kabla ya kuchaguliwa kuwa mwenyekiti wa Bodi ya Ligi, alikuwa akikaimu nafasi hiyo iliyoachwa wazi na Almas Kasongp.
