Baadhi ya viongozi wa Simba wana afya ya akili - Magori


Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba SC Crescentius Magori amesema kuna baadhi ya viongozi wa tatizo la afya ya akili wanafurahi hadi timu ikifungwa, kazi yao nikuleta taharuki, hawataki utulivu kwenye klabu

Magori anawaita wanachama wajitokeze kwenye mkutano mkuu November 30


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI