Baadhi ya viongozi wa Simba wana afya ya akili - Magori
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba SC Crescentius Magori amesema kuna baadhi ya viongozi wa tatizo la afya ya akili wanafurahi hadi timu ikifungwa, kazi yao nikuleta taharuki, hawataki utulivu kwenye klabu
Magori anawaita wanachama wajitokeze kwenye mkutano mkuu November 30
