Aziz Ki hali tete kiafya

Mchezaji wa Wydad Athletic Club Stephanie Aziz Ki siku ya Jana alipata jeraha lililompelekea kuhusu maumivu makali ya kichwa na kufabya awahishwe hospital Kwa ajili ya matibabu ya dharula.

Idara ya matabibu wa Wydad Athletic Club imetoa taarifa kuwa mchezaji huyo bado anaendelea kupatiwa matibabu Zanzibar.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI