#TupoNaMama: Mkinichagua tena nitapiga marufuku hospitali kuzuiya maiti

Mwenyekiti wa CCM na Mgombea Urais Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema endapo atapata ridhaa ya kuongoza Tanzania kwa mara nyingine atapiga marufuku Hospitali kuzuia miili ya Marehemu kuchukuliwa na Ndugu zao.

Dkt. Samia amesema hayo kwenye Uzinduzi wa Kampeni za Chama hicho viwanja vya Tanganyika packers Kawe, Dar es salaam.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI