Tshabalala aripoti mazoezini Yanga

BEKI Mohamed Hussein ‘Tshabalala’ leo ameripoti katika klabu yake mpya, Yanga SC kuanza maandalizi ya msimu mpya na kwa ujumla maisha mapya Uyangani baada ya kuachana na Simba SC aliyoichezea kwa muda mrefu.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI