Taifa Stars kuingia kambini Septemba 2

Kocha wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars Hemed Morocco ametangaza kikosi cha timu hiyo kitakachoingia kambini Septemba 2, 2025 kwa ajili ya kujiandaa na michezo miwili ya Kufuzu Kombe la Dunia 2026 dhidi ya Congo Brazzaville na Niger huku nahodha Mbwana Ally Samatta akiwa miongoni mwa walioitwa.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI