Taifa Stars kuingia kambini Septemba 2
Kocha wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars Hemed Morocco ametangaza kikosi cha timu hiyo kitakachoingia kambini Septemba 2, 2025 kwa ajili ya kujiandaa na michezo miwili ya Kufuzu Kombe la Dunia 2026 dhidi ya Congo Brazzaville na Niger huku nahodha Mbwana Ally Samatta akiwa miongoni mwa walioitwa.