Simba yamtambulisha Seleman Mwalimu Gomez

Klabu ya Simba SC imethibitisha kumsajili mshambuliaji Seleman Mwalimu ‘Gomez’ kwa mkataba wa mkopo wa mwaka mmoja akitokea Wydad Casablanca ya Morocco.

Mwalimu (19) raia wa Tanzania aliyejiunga na Wydad mnamo Januari 2025, akitokea Singida Black Stars baada ya kuonesha kiwango bora wakati akiitumikia Fountain Gate FC kwa mkopo kutoka Singida Black Stars na kufunga magoli 6 kwenye nusu ya kwanza ya msimu wa 2024/25.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI