Simba yamsajili beki na kumtoa kwa mkopo

Klabu ya Simba SC imekamilisha usajili wa beki wa kati Vedastus Masinde (19) kutoka TMA inayoshiriki Ligi daraja la kwanza Tanzania

Simba SC imempeleka Vedastus Masinde kujiunga na JKT Tanzania kuelekea msimu ujao ili kuboresha kiwango chake ikiwa ni makubaliano ya uhamisho wa Yakoub Suleiman na Wilson Nangu

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI