Simba Day ni Simba SC vs Gor Mahia

KLABU ya Simba itacheza na vigogo wa Kenya, Gor Mahia katika mchezo wa kirafiki kwenye tamasha la Simba Day Septemba 10 Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI