Popat wa Azam FC abeba tuzo
CEO wa Azam FC Abdulkarim Amin Popat ameshinda tuzo ya Visionary Award kama kiongozi bora wa mwaka kwenye michezo, tuzo hizo zimetolewa na THE 200 CEO's BUSINESS FORUM zikimtambua POPAT kama mchapakazi kwenye sekta ya michezo na uongozi bora!