Popat wa Azam FC abeba tuzo

CEO wa Azam FC Abdulkarim Amin Popat ameshinda tuzo ya Visionary Award kama kiongozi bora wa mwaka kwenye michezo, tuzo hizo zimetolewa na THE 200 CEO's BUSINESS FORUM zikimtambua POPAT kama mchapakazi kwenye sekta ya michezo na uongozi bora! 

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI