Mlandege yaiwahi Simba Septemba 27
Klabu ya Mlandege FC imewapiga bao Simba kwenye uzinduzi wa Jezi, Mlandege watazindua jezi zao tarehe 27 kesho Jumatano saa 12 Jioni ikumbukwe tarehe hiyo ilipangwa kuwa uzinduzi wa Jezi za Simba lakini wameghairisha mpaka tarehe 31.