Mlandege yaiwahi Simba Septemba 27

Klabu ya Mlandege FC imewapiga bao Simba kwenye uzinduzi wa Jezi, Mlandege watazindua jezi zao tarehe 27 kesho Jumatano saa 12 Jioni ikumbukwe tarehe hiyo ilipangwa kuwa uzinduzi wa Jezi za Simba lakini wameghairisha mpaka tarehe 31. 

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI