Mbosso kupamba Simba Day

Msanii wa muziki wa kizaxi kipya aliyewahi kuwa memba wa lebo za Yamoto Band na WCB, Mbwana Yusuf Kilungi "Mbosso" atapamba tamasha kubwa la klabu ya Simba la Simba Day siku ya Septemba 10 mwaka huu katika uwanja wa Mkapa jijini Dar es Salaam.

Klabu ya Simba imeweka wazi hii leo kupitia msemaji wake Ahmed Ally ambapo Mbosso atakuwa jukwaa kuu akiwapa furaha mashabiki wa klabu hiyo.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI