Kipa Azam FC atimkia Al Hilal Omduman

#DEAL_DONE ✅✅

Golikipa wa timu ya taifa wha Sudan πŸ‡ΈπŸ‡©,  Mohamed Mustafa amejiunga na Klabu ya Al Hilal ya Sudan πŸ‡ΈπŸ‡©  kwa Mkataba wa Miaka mitatu mpaka 2028.
.
Mustafa amejiunga na Al Hilal baada ya kuachana na klabu ya Azam FC aliyokuwa akiitumikia.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI