Injinia Hersi amtembelea mzee Jabir Katundu

Rais wa Young Africans SC, Injinia Hersi Said leo amemtembelea Katibu wa zamani wa Klabu yetu, Mzee Jabir Katundu na kumkabidhi zawadi za jezi zetu mpya za msimu wa 2025/26.

Mzee Jabir Katundu alikuwa Katibu wa Klabu ya Yanga miaka ya 1962-1966, chini ya Uongozi wa Mwenyekiti Mohamed Mabosti.

Hersi amemkabidhi Mzee Jarib Katundu, jezi zote za Klabu na kumuelezea maudhui yaliotumika kwenye ubunifu wa jezi hizo.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI