Hatimayr Yanga yambakisha Clement Mzize

MSHAMBULIAJI Clement Francis Mzize ameongeza mkataba wa kuendelea kuitumikia Yanga – baada ya klabu yake kuposti picha akiwa na Rais wa timu, Eng Hersi Said na kuambatanisha na ujumbe “Bado yupo sana.

Mambo Uwanjani Blog ilikuwa ya kwanza kuwakilisha umma kwamba Mzize atabaki Yanga na sababu kubwa ni kumuongeza mkataba na kuboresha maslahi yake ambapo ilieleza kwamba Yanga itamlipa mshahara mkubwa ikitaja milioni arobaini na tano.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI