Bernard Morrison afunika usajili Bangladeshi

Klabu ya Mohammedan Sporting Club ya nchini Bangladesh Premier League. amekamilisha usajili wa mchezaji Bernard Morrison.

 Anatajwa kama nyota mkubwa zaidi kuwahi kusajiliwa katika historia ya ligi hiyo..

Ikumbukwe Morrison aliwahi kuzichezea Orlando Pirates ya Afrika Kusini, Yanga na Simba za Tanzania na DC Motema Pembe ya DR Congo 

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI