Beki mpya Simba kuvunja mkataba..

Beki wa Kushoto wa Simba SC Antony Mlingo amegoma kuendelea na shughuli yoyote katika kikosi cha Simba mpaka atakapolipwa pesa zake zote alizoahidiwa.

Chanzo chetu cha Kuaminika kimetutaarifu kuwa Mlingo yupo mbioni kuvunja mkataba na wekundu wa Msimbazi Simba.

Mligo anaweza kuachana na Simba kwa sababu ya wakala wake ambaye haelewani na Simba, wakala wa Mligo ndiye huyo huyo wakala wa Mohamed Hussein Tshabalala ambaye alidhindwana na Simba na kuamua kuondoka.

Wakala huyo ni Carlos Mastermind.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI