Vifaa vipya vyamiminika Simba
Kiungo Mshambuliaji Mohamed Bajaber amewasili nchini Tanzania kwaajili ya kujiunga na klabu ya Simba SC akitokea Kenya Police FC
Mohamed Bajaber atasaini documents zote baada ya makubaliano binafsi na Simba SC kukamilika na Simba SC kumalizana na Kenya Police FC
