Tshabalala kocha mpya Sporting Club


Aliyekuwa kocha wa wanawake wa Mamelodi Sundowns Jerry Tshabalala ndiye kocha mkuu mpya wa Sporting Club Casablanca.

Casablanca wanaoshiriki ligi kuu ya wanawake nchini Morocco na walimaliza wa pili katika Ligi ya Mabingwa ya CAF ya Wanawake 2023 baada ya kushindwa na Sundowns ya Tshabalala.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI