Thapelo Maseko aota mbawa Simba

Mshambuliaji Thapelo Maseko hatajiunga na klabu ya Simba SC kuelekea msimu ujao akitokea Mamelodi Sundowns

Pia Orlando Pirates imekataa ofa ya Simba SC ya kuhitaji kupata saini ya Karim Kimvuidi na wamemuahidi mchezaji atapewa muda wa kucheza kuelekea msimu ujao.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI