Thapelo Maseko aota mbawa Simba
Mshambuliaji Thapelo Maseko hatajiunga na klabu ya Simba SC kuelekea msimu ujao akitokea Mamelodi Sundowns
Pia Orlando Pirates imekataa ofa ya Simba SC ya kuhitaji kupata saini ya Karim Kimvuidi na wamemuahidi mchezaji atapewa muda wa kucheza kuelekea msimu ujao.
