Simba yatenga bilioni 1.2 kumnunua Feitoto

Klabu ya Simba SC ipo tayari kutoa kiasi cha pesa cha USD 500K (Tshs Bilioni 1.2) kwenda Azam FC lakini italipa nusu yake USD 250K (Tshs Milioni 630) na nyingine watalipa baadae

Azam FC wamekataa wanahitaji kiasi chote na bila hivyo hakuna biashara na Simba SC kwa Feitoto na mpaka sasa klabu ya Simba SC inaendelea kupambana kwa kuishawishi Azam FC ili ikubaliane na mahitaji hayo na Kiungo Feisal ameshasema yes kujiunga na Simba SC na anahitaji kujiunga na Wekundu wa Msimbazi.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI