Simba na Betway imeishaa

KLABU ya Simba SC imepata udhamini mpya Mkuu kutoka Kampuni ya Betway Tanzania wenye thamani ya Sh. Bilioni 20 kwa miaka mitatu.

Simba SC inaingia mkataba wa Betpawa baada ya kuachana na wadhamini wao, M-Bet walioingia nao mkataba wa miaka mitano kuanzia Agosti 1, mwaka 2022 wenye thamani ya Sh. Bilioni 26, milioni 168 na Tsh. 5,000 kwa miaka mitano.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI