Salehe Karabaka arejea Simba


Mshambuliaji wa Klabu ya Simba SC, Salehe Karabaka , ambae alikuwa Kwa mkopo kwenye Klabu ya Namungo FC Kwa mwaka mmoja ambao tayari umemalizika amerejea katika Klabu ya Simba SC baada ya mkataba wake kufika mwisho.

Mkataba wa Karabaka na Klabu ya Simba SC ni Miaka mitatu , mpaka sasa Simba ndo wataamua Nini wakifanye kama mchezaji atatokewa Kwa mkopo ama watasalia katika Klabu hiyo ya Msimbazi.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI