Rushine De Reuch ni Mwekundu wa Msimbazi
Rasmi klabu ya Simba imekamilisha usajili wa mlinzi wa zamani wa klabu ya Mamelodi Sundowns Rushine De Rueck kwa mkataba wa mwaka mmoja.
Nyota huyo kabla ya kutua nchini alikuwa anaitumikia klabu ya Maccabi Petah ya nchini Israel kwa mkopo akitokea Mamelodi Sundowns.
